Kurudi shuleni II
Baada ya kupumzika siku moja (ilikuwa kazi sana, kwenda shule dakika tano...), leo ilikuwa siku la pili.
Bahati nzuri, mwalimu alikuwepo. Somo hilo ni ya 'minor' yangu. Jina la somo ni 'Gender & Diversity' (jinsia na kutofautiana). Jina la minor ni Ukuwaji, Siasa na Maendelezo.
Walikuwa wanafunzi wengi darasani, kama mia moja. Wote wa faculty yangu wanaweza kufuata somo hilo, sio wanafunzi wa masomo ya kiafrika tu. Lakini sisi wa 'kiafrika' tulikuwepo karibu na wote.
Nimefikiri somo lilivutia. Lakini nimeshasoma kidogo kuhusu jinsia, kwa hivyo ilikuwa habari ya zamani. Lakini bado nimelipenda.
Nimeshangaa kwamba hapa wanafunzi wameendelea kuongea, hata wakati mwalimu alifundisha. Kwetu ni lazima tuwe kimya, au mwalimu atatutupa nje. Na pia amesema ile Bachelor ni mpya halafu tunatarajiwa kusoma wenyewe, inakubidi usome kitabu na ufutilie kila neno kwa ufasaha badala ya kutoa kichwani mwako. Sasa, vitu vya bachelor ni vya kawaida kwetu. Kabla hatujaanza kusoma shahada ya pili hatu hitaji kurudia tuliyosoma ingawa tunahitaji kujifikiria.
Bahati nzuri, mwalimu alikuwepo. Somo hilo ni ya 'minor' yangu. Jina la somo ni 'Gender & Diversity' (jinsia na kutofautiana). Jina la minor ni Ukuwaji, Siasa na Maendelezo.
Walikuwa wanafunzi wengi darasani, kama mia moja. Wote wa faculty yangu wanaweza kufuata somo hilo, sio wanafunzi wa masomo ya kiafrika tu. Lakini sisi wa 'kiafrika' tulikuwepo karibu na wote.
Nimefikiri somo lilivutia. Lakini nimeshasoma kidogo kuhusu jinsia, kwa hivyo ilikuwa habari ya zamani. Lakini bado nimelipenda.
Nimeshangaa kwamba hapa wanafunzi wameendelea kuongea, hata wakati mwalimu alifundisha. Kwetu ni lazima tuwe kimya, au mwalimu atatutupa nje. Na pia amesema ile Bachelor ni mpya halafu tunatarajiwa kusoma wenyewe, inakubidi usome kitabu na ufutilie kila neno kwa ufasaha badala ya kutoa kichwani mwako. Sasa, vitu vya bachelor ni vya kawaida kwetu. Kabla hatujaanza kusoma shahada ya pili hatu hitaji kurudia tuliyosoma ingawa tunahitaji kujifikiria.
